Mbunge wa Limuru, Mhe. John Kiragu Kuwasilisha Hoja ya Kukabili Ajali za Barabarani

Thursday, 17 April, 2025

Mbunge wa Limuru, Mhe. John Kiragu Kuwasilisha Hoja ya Kukabili Ajali za Barabarani

Mbunge wa Limuru, Mhe. John Kiragu azungumza kuhusu jinamizi la ajali za barabarani linaloendelea kusababisha maafa katika maeneo mbali mbali nchini.

Takriban watu kumi wameaga dunia katika kipindi cha chini ya wiki mbili pekee katika eneo la Limuru kwenye barabara kuu ya Nairobi-Nakuru. 

Mhe. John Kiragu asema ametayarisha mswada linaloenga kutwiga jukumu la kuhakikisha usalama wa uchukuzi wa ardhini kwa shirika la NTSA.


MORE UPDATES

  • Parliament Begins Funeral Arrangements for Late Ol Kalou MP Hon. David Kiaraho
    Parliament Begins Funeral Arrangements for Late Ol Kalou MP Hon. David
  • Committee to Probe Seven Entities As It Probes Alleged Loss Of Sh9billina From E-Citizen
    Committee to Probe Seven Entities As It Probes Alleged Loss Of Sh9billina
  • House committee steps up peace drive in Isiolo County.
    House committee steps up peace drive in Isiolo County.
  • Nationwide Public Participation Exercise On The Public Participation Bill
    Nationwide Public Participation Exercise On The Public Participation Bill
  • No Charlatans Will Be Allowed To Operate In Kenya, Public Work Ps Assures Housing Committee
    No Charlatans Will Be Allowed To Operate In Kenya, Public Work Ps Assures
  • Address Bomayangu Platform Bottlenecks, Housing Committee Tells State Department
    Address Bomayangu Platform Bottlenecks, Housing Committee Tells State