Kasipul yaomboleza huku viongozi wakimimina sifa kwa marehemu Charles Were

Friday, 9 May, 2025

Kasipul yaomboleza huku viongozi wakimimina sifa kwa marehemu Charles Were

Shule ya Msingi ya Karabok, Kaunti ya Homa Bay
Ijumaa, Mei 9, 2025

Wingu la simanzi limetanda kijiji cha Karabok, Oyugis katika eneo Bunge la Kasipul, Kaunti ya Homa Bay. 

Wabunge wakiongozwa na Spika wa Bunge la Taifa, Mheshimiwa Dkt. Moses Masika Wetang’ula, wamewasili katika Shule ya Msingi ya Karabok kuhudhuria ibada ya mazishi ya marehemu Mbunge wa Kasipul, Mheshimiwa Sir Charles Ong’ondo Were.

Sherehe hiyo ya heshima ya mwisho inaendelea katika uwanja wa shule hiyo, ikiwa imewakusanya viongozi wa kitaifa, wageni mashuhuri, familia, marafiki na wakaazi wa eneo hilo waliokuja kutoa heshima zao za mwisho kwa mwendazake.

Waheshimiwa, mmoja baada ya mwingine, wamekuwa wakimiminia sifa mwendazake kwa uongozi wake wa mfano, utendakazi wake wa uaminifu, na mchango wake mkubwa katika ustawi wa jamii ya Kasipul.


Kasipul yaomboleza huku viongozi wakimimina sifa kwa marehemu Charles Were

MORE UPDATES

  • Parliament Begins Funeral Arrangements for Late Ol Kalou MP Hon. David Kiaraho
    Parliament Begins Funeral Arrangements for Late Ol Kalou MP Hon. David
  • Committee to Probe Seven Entities As It Probes Alleged Loss Of Sh9billina From E-Citizen
    Committee to Probe Seven Entities As It Probes Alleged Loss Of Sh9billina
  • House committee steps up peace drive in Isiolo County.
    House committee steps up peace drive in Isiolo County.
  • Nationwide Public Participation Exercise On The Public Participation Bill
    Nationwide Public Participation Exercise On The Public Participation Bill
  • No Charlatans Will Be Allowed To Operate In Kenya, Public Work Ps Assures Housing Committee
    No Charlatans Will Be Allowed To Operate In Kenya, Public Work Ps Assures
  • Address Bomayangu Platform Bottlenecks, Housing Committee Tells State Department
    Address Bomayangu Platform Bottlenecks, Housing Committee Tells State