Tangazo la ushirikishwaji wa umma, kaunti ya Kwale

Thursday, 15 May, 2025

Tangazo la ushirikishwaji wa umma, kaunti ya Kwale

Je Wewe ni mkaaji wa Kaunti ya Kwale na ungependa kutoa maoni yako kuhusu makadirio ya bajeti ya mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha wa 2025/26? 

Kamati ya Bajeti na Uidhinishaji wa Matumizi imeandaa mkutano wa hadhara katika zoezi la ushirikishwaji wa Umma katika Kaunti hio.

🗣️ Toa maoni yako.

📅 Tarehe : Kesho Alhamisi, Mei 15, 2025

 ⏰ Saa: Nne hadi Saa Tisa 

🏠 Kikao: Ukumbi wa Kwale Cultural Centre


MORE UPDATES

  • Parliament Begins Funeral Arrangements for Late Ol Kalou MP Hon. David Kiaraho
    Parliament Begins Funeral Arrangements for Late Ol Kalou MP Hon. David
  • Committee to Probe Seven Entities As It Probes Alleged Loss Of Sh9billina From E-Citizen
    Committee to Probe Seven Entities As It Probes Alleged Loss Of Sh9billina
  • House committee steps up peace drive in Isiolo County.
    House committee steps up peace drive in Isiolo County.
  • Nationwide Public Participation Exercise On The Public Participation Bill
    Nationwide Public Participation Exercise On The Public Participation Bill
  • No Charlatans Will Be Allowed To Operate In Kenya, Public Work Ps Assures Housing Committee
    No Charlatans Will Be Allowed To Operate In Kenya, Public Work Ps Assures
  • Address Bomayangu Platform Bottlenecks, Housing Committee Tells State Department
    Address Bomayangu Platform Bottlenecks, Housing Committee Tells State